Tuesday, January 11, 2011

hero

JamiiForums |The Home of Great Thinkers - JamiiForums.com 


Wizi na uwongo, ni ujanja nilorithi kutoka kwa ***** yangu mimi, vyote mkagundua, mkaona silingani kabisa kuwaongoza.
Na kama haitoshi, mkakata kabisa na shina la mabango yangu mimi, eti kisa wizi, mkaona bora mniache mimi muende upinzani.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, sana.
Naskia hivi sasa wote mpo chadema, mnatupa kadi za ccm na mnakuwa wa chama fulani, iliniuma sana, iliniuma sana, sana.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.

Mngejua jinsi gani, machozi niliyolia kwa uchungu wa kura zenu nyinyi, mwenzenu jinsi gani, vile nimeumia moyoni. Hata jukwaa sitamani, utamu wa usanii mwenzenu imekula kwangu mimi, mwenzenu sina hamu, hata raha ya ikulu mi sioni.
Naskia hivi sasa wote hamnitaki, vile mkikaa hata mkiongea, mmeungana sana, sanaa. Mi mwenzenu Slaa huyu mi sina hamu, tena nna mpango wa kuongea na shimbo, nataka aende mbali, nijiepushe na kero zake mi mwenzenu siwezi.

Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
Tatizo huyo Dr Slaa, Mara Epa mara madini, tatizo huyo Dr Slaa, mkaona uongozi siuwezi.
The Dreamer is online now 

No comments:

Post a Comment